Ukizungumzia ushindani wa kutengeneza simu janja hasa zinazokimbiza sana soko la Afrika basi lazma utaje Infinix,ni kampuni inayotishia soko la simu zingine hasa kasi yake ya kufyatua simu bomba na imara.
Kwa watumiaji wa Infinix Note 4 habari njema kwenu,mwanzoni wa mwezi Machi familia hii ya note 4 inatarajiwa kupata toleo jipya la Android 8 yaani Oreo, kupitia forum yao wamesema wapo mbioni na hivi karibuni watafanyia majaribio.
Sifa za note 4
Simu hiyo imetoka mwezi wa 8 2017
Kwa sifa hizo zinatosha kabisa kupata toleo jipya la Android 8.
Sifa na uwezo wa Infinix Hot 5 X559c
Wewe unatumia simu gani?, unahitaji toleo jipya? Niandikie chini hapo?
![]() |
Infinix NOTE 4 |
Kwa watumiaji wa Infinix Note 4 habari njema kwenu,mwanzoni wa mwezi Machi familia hii ya note 4 inatarajiwa kupata toleo jipya la Android 8 yaani Oreo, kupitia forum yao wamesema wapo mbioni na hivi karibuni watafanyia majaribio.
Sifa za note 4
Ukubwa wa kioo | Inchi 5.70 |
Upana | 1080x1920 pixels |
Hifadhi | 32GB |
Prosesa | 1.3GHz quad-core |
RAM | 3GB |
Kamera ya nyuma | Megapicel 13 |
Kamera ya mbele | megapixel 8 |
OS | Android 7.0 |
Uwezo wa Betri | 4300mAh |
Kwa sifa hizo zinatosha kabisa kupata toleo jipya la Android 8.
Sifa na uwezo wa Infinix Hot 5 X559c
Wewe unatumia simu gani?, unahitaji toleo jipya? Niandikie chini hapo?